La Kuokoa Quotes

We've searched our database for all the quotes and captions related to La Kuokoa. Here they are! All 2 of them:

Nabii wa kweli lazima awe na upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, na kiasi. Kuonyesha usungura wa manabii wa injili ya woga ni jukumu la kila Mkristo wa kweli, kuokoa roho za watu wengi kwa kadiri tutakavyoweza.
Enock Maregesi
Kuonyesa hila za manabii wa ghalati ni jukumu la kila Mkristo wa kweli ili kuokoa roho za watu wengi kabla Taabu ya Yakobo haijaanza.
Enock Maregesi