Yao Quotes

We've searched our database for all the quotes and captions related to Yao. Here they are! All 100 of them:

Anyone who tells you that the Yao people never care for their daughters is lying. We may be worthless. We may be raised for another family. But often we are loved and cherished, despite our natal families' best efforts not to have feelings for us.
Lisa See (Snow Flower and the Secret Fan)
Nobody is right and nobody is wrong. Only one thing is right, and that is the Truth, but nobody knows what it is. It is a thing that changes all the time, and then comes back to the same thing. -Old Yao
Lin Yutang (Moment in Peking)
Having destroyed countless sects, nobody would listen to his explanation, especially when Jin GuangYao would be there fanning the flames. Lan WangJi, though, was different from him. He wouldn’t even have to explain, and people would explain for him, such as how HanGuang-Jun had been deceived by the YiLing Patriarch. Wei WuXian, 'HanGuang-Jun, you don’t have to follow me!' Lan WangJi looked straight in front of him, saying nothing in reply.
墨香铜臭 (魔道祖师 [Mó Dào Zǔ Shī])
Msichana wa miaka 18 miaka ya 70 ni sawa na msichana wa miaka 8 leo. Msichana wa miaka 8 leo anayajua maisha kuliko msichana wa miaka 18 miaka ya 70. Tuwape watoto wetu haki yao ya msingi ya kuwa watoto katika siku za ujana wao, kabla hawajawa watoto tena watakapokuwa wakubwa.
Enock Maregesi
Watu wanapokuwa katika migogoro maisha yao hutakiwa kurahisishwa. Kuna ukingo mwembamba kati ya uzima na wazimu.
Enock Maregesi
Watu wanaohatarisha maisha yao kwa kudharau sheria wakati mwingine hawatakiwi kudharauliwa. Ni sawa na mtu aliyepoteza kila kitu katika maisha yake. Wana uwezo wa kufanya chochote.
Enock Maregesi
A well-managed breakdown can turn out to be a good thing,” he told Yao. “Try to see it as an opportunity. An opportunity to grow and learn about yourself.
Liane Moriarty (Nine Perfect Strangers)
Oh! I'm gonna hit you so hard it'll make your ancestors dizzy!
Yao from Mulan
Sina jinsi. Nguzo ya maisha yangu ni historia ya maisha yangu. Historia ya maisha yangu ni urithi wa watu waliojifunza kusema hapana kwa ndiyo nyingi – waliojitolea vitu vingi katika maisha yao kunifikisha hapa nilipo leo – walionifundisha falsafa ya kushindwa si hiari. Siri ya mafanikio yangu ni kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu wote; au 'pushing the envelope' kwa lugha ya kigeni.
Enock Maregesi
Serikali imepewa mamlaka na wananchi kuwaendeshea nchi yao. Mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.
Enock Maregesi
Amani ya nafsi ni zaidi ya amani ya kisiasa. Amani ya kisiasa itaweza kupatikana endapo watu watakuwa na amani ndani ya mioyo yao. Watu wakiithamini amani na kuielewa watayafurahia maisha yao, na mataifa yakiithamini amani na kuielewa yatastawi. Vita hutengenezwa ndani ya mioyo ya watu. Ukiitafuta amani ndani ya moyo wako, taifa halitasimama kupigana na taifa, amani itaweza kupatikana.
Enock Maregesi
The Empty Boat He who rules men lives in confusion; He who is ruled by men lives in sorrow. Yao therefore desired Neither to influence others Nor to be influenced by them. The way to get clear of confusion And free of sorrow Is to live with Tao In the land of the great Void. If a man is crossing a river And an empty boat collides with his own skiff, Even though he be a bad-tempered man He will not become very angry. But if he sees a man in the boat, He will shout at him to steer clear. If the shout is not heard, he will shout again, And yet again, and begin cursing. And all because there is somebody in the boat. Yet if the boat were empty. He would not be shouting, and not angry. If you can empty your own boat Crossing the river of the world, No one will oppose you, No one will seek to harm you. The straight tree is the first to be cut down, The spring of clear water is the first to be drained dry. If you wish to improve your wisdom And shame the ignorant, To cultivate your character And outshine others; A light will shine around you As if you had swallowed the sun and the moon: You will not avoid calamity. A wise man has said: "He who is content with himself Has done a worthless work. Achievement is the beginning of failure. Fame is beginning of disgrace." Who can free himself from achievement And from fame, descend and be lost Amid the masses of men? He will flow like Tao, unseen, He will go about like Life itself With no name and no home. Simple is he, without distinction. To all appearances he is a fool. His steps leave no trace. He has no power. He achieves nothing, has no reputation. Since he judges no one No one judges him. Such is the perfect man: His boat is empty.
Thomas Merton (The Way of Chuang Tzu (Shambhala Library))
Fu Yao smiled without mirth. "This young master sure knows a lot." San Lang smiled back. "It's nothing. You just don't know very much, that's all." "..." Xie Lian smiled in spite of himself, amused by San Lang's sharp tongue.
Mò Xiāng Tóng Xiù (Heaven Official's Blessing Manhua Illustration Book)
I'm not afraid Even if it's true That there is no place for me. My home is in my heart And in the hands of all my friends. No one can take it away from me. I am who I am.
Yao Xiao (Everything Is Beautiful, and I'm Not Afraid: A Baopu Collection)
21.  If he is secure at all points, be prepared for him. If he is in superior strength, evade him. 22.  If your opponent is of choleric temper, seek to irritate him. Pretend to be weak, that he may grow arrogant. [Wang Tzu, quoted by Tu Yu, says that the good tactician plays with his adversary as a cat plays with a mouse, first feigning weakness and immobility, and then suddenly pouncing upon him.] 23.  If he is taking his ease, give him no rest. [This is probably the meaning though Mei Yao-ch’en has the note: “while we are taking our ease, wait for the enemy to tire himself out.” The YU LAN has “Lure him on and tire him out.”] If his forces are united, separate them. [Less plausible is the interpretation favored by most of the commentators: “If sovereign and subject are in accord, put division between them.”] 24.  Attack him where he is unprepared, appear where you are not expected. 25.  These military devices, leading to victory, must not be divulged beforehand. 26.  Now the general who wins a battle makes many calculations in his temple ere the battle is fought. [Chang Yu tells us that in ancient times it was customary for a temple to be set apart for the use of a general who was about to take the field, in order that he might there elaborate his plan of campaign.] The general who loses a battle makes but few calculations beforehand. Thus do many calculations lead to victory, and few calculations to defeat: how much more no calculation at all! It is by attention to this point that I can foresee who is likely to win or lose.
Sun Tzu (The Art of War)
Yao Niang, the first tiny-footed lady. When that woman
Lisa See (Snow Flower and the Secret Fan)
Mungu hutumia watu 'wajinga' na 'wapumbavu' kufanya mambo makubwa katika maisha yao na ya watu wengine. Katika Biblia, Musa aliitwa mjinga alipokiuka amri ya Farao ya kuendelea kuwafanya watumwa wana wa Israeli nchini Misri; Nuhu aliitwa mpumbavu alipohubiri kwa miaka mia kuhusu gharika, katika kipindi ambacho watu hawakujua mvua ni nini; Daudi aliitwa mjinga alipojitolea kupambana na Goliati bonge la mtu, shujaa wa Gathi; Yusufu aliitwa mjinga alipokataa kulala na mke wa bosi wake, baada ya kuwa ameuzwa na nduguze kama mtumwa nchini Misri; Abrahamu aliitwa mjinga alipoamua kuhama nchi aliyoipenda na kwenda katika nchi ya ahadi, eti kwa sababu Mungu alimwambia kufanya hivyo; Yesu aliitwa mjinga mpaka akasulubiwa aliposema yeye ni Mfalme na Mwana wa Mungu. LAKINI, Musa alitenganisha Bahari ya Shamu na kuwapeleka Waisraeli katika nchi ya ahadi, ambako aliwakomboa kutoka utumwani. Nuhu aliokoa dunia. Daudi alimshinda Goliati. Yusufu aliokoa familia yake kutokana na njaa. Abrahamu alikuwa baba wa imani. Yesu aliyashinda mauti. Wakati mwingine tunatakiwa kufanya mambo makubwa kulingana na jinsi Roho Mtakatifu anavyotutuma, bila kujali watu au dunia itasemaje.
Enock Maregesi
Ujasusi ni kitu cha muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote. Watu wanaoshughulika na ujasusi wanapaswa kuwa makini mno kwani kazi yao ni nyeti sana kulinganisha na kazi za watu wengine. Kosa dogo la kiusalama linaweza kubadili mwelekeo wa historia ya nchi.
Enock Maregesi
Wananchi wanapokosa huduma za muhimu za kijamii (kama vile afya, elimu, chakula, malazi, na ulinzi) ilhali wanalipa kodi, na wameajiri serikali kuwaendeshea nchi kwa kiapo cha uaminifu wa vitabu vitakatifu, watakosa imani na serikali yao! Vilevile wataathirika kiuchumi, kijamii na kisiasa, na vita itaweza kutokea kati ya wananchi na serikali, au wananchi kwa wananchi wataweza hata kujidhuru wenyewe – nikimaanisha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Serikali ikifuata maadili ya kazi, na kuacha udikteta na urasimu wa aina yoyote ile, au ikifanya kazi kulingana na misingi ya katiba ya nchi; wananchi watapata huduma za kijamii kama wanavyostahili, na ndoto ya haki na ustawi wa jamii itaweza kutimia. Hata hivyo, serikali inaweza kuwadhulumu wananchi wake kwa sababu ya usalama wao.
Enock Maregesi
(3) a hasty temper, which can be provoked by insults; [Tu Mu tells us that Yao Hsing, when opposed in 357 A.D. by Huang Mei, Teng Ch’iang and others shut himself up behind his walls and refused to fight. Teng Ch’iang said: “Our adversary is of a choleric temper and easily provoked; let us make constant sallies and break down his walls, then he will grow angry and come out. Once we can bring his force to battle, it is doomed to be our prey.” This plan was acted upon, Yao Hsiang came out to fight, was lured as far as San-yuan by the enemy’s pretended flight, and finally attacked and slain.]
Sun Tzu (The Art of War)
只觉千丈深渊,未及心上一捧桃花潭
Priest (Liu Yao: The Revitalization of Fuyao Sect)
I'll get that arrow, pretty boy, and I'll do it with my shirt ON.
T. Yao
When God shuts a door He opened a window God is always there to help you.
Kat Yao
Who indeed was going to marry Chris?
Ines Bautista-Yao (Only A Kiss)
Have their souls scattered?" Cheng Qian thought it over. "It would be better to say that they ascended." With a thought like that, the heart suddenly felt at ease.
Priest (Liu Yao: The Revitalization of Fuyao Sect)
In most cases, having and using a fantastic machine learning algorithm is less important than deploying a well-designed user experience (UX) for your products.
Mariya Yao (Applied Artificial Intelligence: An Introduction For Business Leaders)
They agree with the current customs. They consent with an impure age. Their principles have a semblance of right-heartedness and truth. Their conduct has a semblance of disinterestedness and purity. All men are pleased with them, and they think themselves right, but you cannot enter into the Way of Yao and Shun with them. For this reason they are called “The thieves of virtue.
Mencius
Jina langu ni Enock Maregesi na ningependa kukwambia kisa kidogo kuhusiana na bibi yangu, Martha Maregesi. Mwanamke huyu alikuwa mke mwenye upendo usiokuwa na masharti yoyote. Alikuwa mama na bibi aliyefundisha familia yake umuhimu wa kujitolea na umuhimu wa uvumilivu. Ijapokuwa hakupendelea sana kujizungumzia mwenyewe, ningependa kukusimulia kisa kidogo kuhusiana na hadithi ya maisha ya mwanamke huyu wa ajabu katika maisha yangu. Bibi yangu alizaliwa katika Kitongoji cha Butimba, Kijiji cha Kome, Kata ya Bwasi, Tarafa ya Nyanja (Majita), Wilaya ya Musoma Vijijini, Mkoa wa Mara, katika familia ya watoto kumi, mwaka 1930. Alisoma katika Shule ya Msingi ya Kome ambako alipata elimu ya awali na msingi na pia elimu ya kiroho kwani shule yao ilikuwa ya madhehebu ya Kisabato. Aliolewa na Bwana Maregesi Musyangi Sabi mwaka 1946, na kufanikiwa kupata watoto watatu; wa kiume wakiwa wawili na wa kike mmoja. Matatizo hasa ya bibi yalianza mwaka 2005, alipougua kiharusi akiwa nyumbani kwake huko Musoma. Hata hivyo alitibiwa hapo Musoma na Dar es Salaam akapona na kuwa mwenye afya ya kawaida. Lakini tarehe 19/10/2014 alipatwa tena na kiharusi na kulazwa tena katika Hospitali ya Mkoa ya Musoma, ila akajisikia nafuu na kuruhusiwa kurudi nyumbani – lakini kwa maagizo ya daktari ya kuendelea na dawa akiwa nje ya hospitali. Tarehe 29/10/2014 alirudi tena Hospitali ya Mkoa ya Musoma kwa tiba zaidi, lakini tarehe 4/11/2014 saa 7:55 usiku akafariki dunia; akiwa amezungukwa na familia yake. Dunia ina watu wachache sana wenye matumaini na misimamo ya kutegemea mazuri, na wachache zaidi ambao wako tayari kugawa matumaini na misimamo hiyo kwa watu wengine. Nitajisikia furaha siku zote kwamba miongoni mwa watu hao wachache, hata bibi yangu alikuwemo. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake. Kwa kuwa bibi yangu ametanguliwa na msalaba, msalaba utamwongoza mahali pa kwenda.
Enock Maregesi
If it weren’t for the great Scottish missionary David Livingstone, the Yao and Chewa might still be at odds today. Livingstone helped end slavery, opened Malawi to trade, and built good schools and missions. Young men became educated and earned money, and once these economic opportunities were available to all, our two tribes had little reason to fight. Today we consider the Yao our brothers and sisters. My
William Kamkwamba (The Boy Who Harnessed the Wind: Creating Currents of Electricity and Hope)
The bottom line is that not only are NBA players outlandishly tall, they are also preposterously long, even relative to their stature. And when an NBA player does not have the height required to fit into his slot in the athletic body types universe, he nearly always has the arm span to make up for it. In the post–Big Bang of body types era, whether with height or reach, almost no player makes the NBA without a functional size that is typical for his position and often on the fringe of humanity. Only two players from a 2010–11 NBA roster with available official measurements have arms shorter than their height. One is J. J. Redick, the Milwaukee Bucks guard who is 6'4" with a 6'3¼" arm span, downright Tyrannosaurus rex-ian in the NBA.* The other is now-retired Rockets center Yao Ming. But at a height just over 7'5", Yao, whose gargantuan parents were brought together for breeding purposes by the Chinese basketball federation, fit into his niche just fine.
David Epstein (The Sports Gene: Inside the Science of Extraordinary Athletic Performance)
Mpenzi. Sikiliza. Magaidi yaliyomuua Marciano yana mtandao dunia nzima na watu wote wanayajua. Yanaitwa Kolonia Santita. Tatizo hata hivyo ni moja: Hakuna mtu amewahi kuthibitisha au kutoa ushuhuda wa uhalifu wao ili watiwe nguvuni. Huendesha maisha yao kibabe na yana kila mbinu ya kukwepa sheria, ndani na nje ya Meksiko. Watu wengi wameuwawa kwa sababu ya Kolonia Santita. Ukileta kidomodomo yanakuua; au yanakupa notisi ya kuhama mji au nchi, ukakae mbali na Meksiko au Mexico City.
Enock Maregesi (Kolonia Santita)
Palestina ni nchi ya Waisraeli waliyopewa na Mungu wa Yakobo. Hata hivyo, hawakutimiza masharti. Mungu aliwaagiza kuua kila mtu katika nchi ya Kaanani na miji yake yote. Waisraeli, wakiongozwa na Yoshua, waliua watu wengi katika nchi ya Kaanani. Hawakuua kila mtu katika miji ya Ashdodi, Gathi na Ukanda wa Gaza kama walivyoagizwa. Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa angempa yeye na uzao wake nchi ya Kaanani kuwa milki yao ya milele, na kuwa Yeye ndiye angekuwa Mungu wao daima. Vita ya Israeli na Palestina itamalizwa na Mungu. Itamalizwa na hekima.
Enock Maregesi
1.    Sun Tzu said: Whoever is first in the field and awaits the coming of the enemy, will be fresh for the fight; whoever is second in the field and has to hasten to battle will arrive exhausted. 2.    Therefore the clever combatant imposes his will on the enemy, but does not allow the enemy’s will to be imposed on him. [One mark of a great soldier is that he fight on his own terms or fights not at all.77 ] 3.    By holding out advantages to him, he can cause the enemy to approach of his own accord; or, by inflicting damage, he can make it impossible for the enemy to draw near. [In the first case, he will entice him with a bait; in the second, he will strike at some important point which the enemy will have to defend.] 4.    If the enemy is taking his ease, he can harass him; [This passage may be cited as evidence against Mei Yao-Ch’en’s interpretation of I. ss. 23.] if well supplied with food, he can starve him out; if quietly encamped, he can force him to move. 5.    Appear at points which the enemy must hasten to defend; march swiftly to places where you are not expected. 6.    An army may march great distances without distress, if it marches through country where the enemy is not. [Ts’ao Kung sums up very well: “Emerge from the void [q.d. like “a bolt from the blue”], strike at vulnerable points, shun places that are defended, attack in unexpected quarters.”] 7.    You can be sure of succeeding in your attacks if you only attack places which are undefended. [Wang Hsi explains “undefended places” as “weak points; that is to say, where the general is lacking in capacity, or the soldiers in spirit; where the walls are not strong enough, or the precautions not strict enough; where relief comes too late, or provisions are too scanty, or the defenders are variance amongst themselves.”] You can ensure the safety of your defense if you only hold positions that cannot be attacked. [I.e., where there are none of the weak points mentioned above. There is rather a nice point involved in the interpretation of this later clause. Tu
Sun Tzu (The Art of War)
Maana halisi ya falsafa ya 'Nitakuwa tayari kufungwa kwa ajili ya matatizo ya watu', au Falsafa ya Kufungwa, ni uvutano mkubwa uliopo kati ya Roho Mtakatifu na Roho wa Shetani kwa sisi wanadamu wote. Jambo lolote baya limtokealo mwanadamu husababishwa na Shetani na si Mungu na watu hupata matatizo kwa sababu ya kudharau miito ya mioyo yao wenyewe, au kudharau kile Roho Mtakatifu anachowambia. Unaweza kuvunja sheria kwa manufaa ya wengi kwani mibaraka haikosi maadui. Ukifungwa kwa kuvunja sheria kwa ajili ya manufaa ya wengi watu watakulaani lakini Mungu atakubariki. Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako. Tukijifunza namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu hatutapata matatizo kwani Mungu anataka tuishi kwa amani katika siku zote alizotupangia, licha ya damu yetu kuwa chafu. Mtu anapokufa kwa mfano, Roho wa Shetani amemshinda Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hatalipendi hilo kwa niaba ya Mungu. Ikitokea mtu akayashinda majaribu ya Shetani katika kipindi ambacho watu wote wameyashindwa; mtu huyo amebarikiwa na Mungu, ili aitumie mibaraka hiyo kuwaepusha wenzake na roho mbaya wa Shetani. Nikisema 'Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako' namaanisha, Roho Mtakatifu ana uwezo wake na Roho wa Shetani ana uwezo wake pia. Ukimshinda Roho wa Shetani uwezo wa Roho Mtakatifu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho wa Shetani, na ukishindwa kumtii Roho Mtakatifu uwezo wa Roho wa Shetani umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho Mtakatifu, ilhali uwezo wa Mungu ni mkubwa kuliko wa Roho Mtakatifu na wa Roho wa Shetani kwa pamoja. Mungu humtumia Roho Mtakatifu kumlindia watoto wake ambao ni sisi dhidi ya Shetani … Kila akifanyacho Roho Mtakatifu hapa duniani ni kwa niaba ya Mungu, na tukimtii Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yetu. Mtu anapofungwa kwa kutetea maslahi ya umma wewe unayemfunga umemtii Roho wa Shetani. Yule anayefungwa amemtii Roho Mtakatifu maana amebarikiwa, na mibaraka haikosi maadui.
Enock Maregesi
Taabini hii ni ngumu sana kwangu kuandika pamoja na kwamba ni miaka mitatu kamili toka giza liingie. Mwaka 2014, Novemba 4, nilimpoteza bibi yangu mpendwa, Martha Maregesi, aliyefariki dunia kutokana na ukongo wa kiharusi, na tutamkumbuka daima. Alikuwa na roho ya kipekee; na kifo chake kiliwagusa wengi, pamoja na kwamba aliishi maisha kamili, zaidi ya siku 25550, siku 5110 zaidi, ambazo ndizo tulizopangiwa na Mungu. Mapenzi ya mtu kwa bibi yake ni mapenzi ya kipekee. Nadhani Mungu aliwapa mabibi wote uwezo maalumu wa kuwapenda wajukuu zao, na kufanya maisha yao yatimie, kuwafanya wawe binadamu wazuri na wenye maadili mema. Alichangia pakubwa katika malezi yangu ya utotoni; na aghalabu naweza kukumbuka nikiwa naye jikoni akipika, huku mimi nikifanya kazi nyingine, lakini wakati huohuo akinifundisha mambo kadha wa kadha ya kunikomaza kimaisha. Bibi hakuwa tu bibi. Alikuwa mlezi, rafiki na mtu aliyenihamasisha sana katika maisha. Kifo kinaleta huzuni lakini kinaleta tumaini. Naamini bibi yangu atakwenda mbinguni, kwa sababu naamini alitubu dhambi zake akisaidiwa na wachungaji. Wachungaji hao walimtembelea kila siku, nyumbani au hospitalini, akiwa kitandani kwake akiugua. Bibi yangu alitimiza wajibu wake. Alizaliwa, aliishi, na alikufa katika toba. Siku nitakapokufa ningependa kuzikwa jirani na alipozikwa bibi yangu, ili Yesu atakaporudi tufufuke pamoja.
Enock Maregesi
Biblia pamoja na historia vinatwambia kuwa mitume kumi na wawili wa Yesu Kristo waliamua kufa kinyama kama mfalme wao alivyokufa, kwa sababu walikataa kukana imani yao juu ya Yesu Kristo. Mathayo alikufa kwa ajili ya Ukristo nchini Ethiopia kwa jeraha lililotokana na kisu kikali, Marko akavutwa na farasi katika mitaa ya Alexandria nchini Misri mpaka akafa, kwa sababu alikataa kukana jina la Yesu Kristo. Luka alinyongwa nchini Ugiriki kwa sababu ya kuhubiri Injili ya Yesu Kristo katika nchi ambapo watu hawakumtambua Yesu. Yohana alichemshwa katika pipa la mafuta ya moto katika kipindi cha mateso makubwa ya Wakristo nchini Roma, lakini kimiujiza akaponea chupuchupu, kabla ya kufungwa katika gereza la kisiwa cha Patmo (Ugiriki) ambapo ndipo alipoandika kitabu cha Ufunuo. Mtume Yohana baadaye aliachiwa huru na kurudi Uturuki, ambapo alimtumikia Bwana kama Askofu wa Edessa. Alikufa kwa uzee, akiwa mtume pekee aliyekufa kwa amani. Petro alisulubiwa kichwa chini miguu juu katika msalaba wa umbo la X kulingana na desturi za kikanisa za kipindi hicho, kwa sababu aliwaambia maadui zake ya kuwa alijisikia vibaya kufa kama alivyokufa mfalme wake Yesu Kristo. Yakobo ndugu yake na Yesu (Yakobo Mkubwa), kiongozi wa kanisa mjini Yerusalemu, alirushwa kutoka juu ya mnara wa kusini-mashariki wa hekalu aliloliongoza la Hekalu Takatifu (zaidi ya futi mia moja kwenda chini) na baadaye kupigwa kwa virungu mpaka akafa, alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Yakobo mwana wa Zebedayo (Yakobo Mdogo) alikuwa mvuvi kabla Yesu Kristo hajamwita kuwa mchungaji wa Injili yake. Kama kiongozi wa kanisa hatimaye, Yakobo aliuwawa kwa kukatwa kichwa mjini Yerusalemu. Afisa wa Kirumi aliyemlinda Yakobo alishangaa sana jinsi Yakobo alivyolinda imani yake siku kesi yake iliposomwa. Baadaye afisa huyo alimsogelea Yakobo katika eneo la mauti. Nafsi yake ilipomsuta, alijitoa hatiani mbele ya hakimu kwa kumkubali Yesu Kristo kama kiongozi wa maisha yake; halafu akapiga magoti pembeni kwa Yakobo, ili na yeye akatwe kichwa kama mfuasi wa Yesu Kristo. Bartholomayo, ambaye pia alijulikana kama Nathanali, alikuwa mmisionari huko Asia. Alimshuhudia Yesu mfalme wa wafalme katika Uturuki ya leo. Bartholomayo aliteswa kwa sababu ya mahubiri yake huko Armenia, ambako inasemekana aliuwawa kwa kuchapwa bakora mbele ya halaiki ya watu iliyomdhihaki. Andrea alisulubiwa katika msalaba wa X huko Patras nchini Ugiriki. Baada ya kuchapwa bakora kinyama na walinzi saba, alifungwa mwili mzima kwenye msalaba ili ateseke zaidi. Wafuasi wake waliokuwepo katika eneo la tukio waliripoti ya kuwa, alipokuwa akipelekwa msalabani, Andrea aliusalimia msalaba huo kwa maneno yafuatayo: "Nimekuwa nikitamani sana na nimekuwa nikiitegemea sana saa hii ya furaha. Msalaba uliwekwa wakfu na Mwenyezi Mungu baada ya mwili wa Yesu Kristo kuning’inizwa juu yake." Aliendelea kuwahubiria maadui zake kwa siku mbili zaidi, akiwa msalabani, mpaka akaishiwa na nguvu na kuaga dunia. Tomaso alichomwa mkuki nchini India katika mojawapo ya safari zake za kimisionari akiwa na lengo la kuanzisha kanisa la Yesu Kristo katika bara la India. Mathiya alichaguliwa na mitume kuchukua nafasi ya Yuda Iskarioti, baada ya kifo cha Yuda katika dimbwi la damu nchini India. Taarifa kuhusiana na maisha na kifo cha Mathiya zinachanganya na hazijulikani sawasawa. Lakini ipo imani kwamba Mathiya alipigwa mawe na Wayahudi huko Yerusalemu, kisha akauwawa kwa kukatwa kichwa. Yuda Tadei, ndugu yake na Yesu, aliuwawa kwa mishale alipokataa kukana imani yake juu ya Yesu Kristo. Mitume walikuwa na imani kubwa kwa sababu walishuhudia ufufuo wa Yesu Kristo, na miujiza mingine. Biblia ni kiwanda cha imani. Tunapaswa kuiamini Biblia kama mitume walivyomwamini Yesu Kristo, kwa sababu Biblia iliandikwa na mitume.
Enock Maregesi
I think we should let them out,’ said Yao. ‘They were meant to be out by now.’ ‘We have to be ready to adapt,’ said Masha. ‘I told you both that at the beginning. For dramatic results, you need dramatic action. I know this is uncomfortable for them, but that’s the only way people change. They have water. They have shelter. We are taking them out of their comfort zone, that’s all. That’s when growth occurs.
Liane Moriarty (Nine Perfect Strangers)
She knew about Christianity—half the rich Yao tribe were Christians, having been converted by missionaries—but Lahu beliefs were less distinct, and more flexible. Livia understood there were spirits inhabiting the trees and rocks and rivers, and this made sense because trees and rocks and rivers were real. But an invisible being that was at once everywhere and yet nowhere? That seemed silly
Barry Eisler (Livia Lone (Livia Lone, #1))
The only sound was a distant, muffled rumbling, sending the frightening message that a great thunderstorm was coming.
Lu Yao (Life)
their faces, as dry and wrinkled as walnut shells,
Lu Yao (Life)
Studies on Trust and Reputation in Peer-to-Peer Networks by researchers like Yao Wang and Julita Vassileva of the University of Saskatchewan, as well as Minaxi Gupta, Paul Judge, and Mostafa Ammar of the Georgia Institute of Technology found that the average consumer prefers and trusts reviews by peers over those by professional critics5960. This is somewhat odd, because professional critics have made it their life mission to distinguish the good from the bad. For every published review, they would spend a significant amount of time collecting all the necessary information, going through the experience, just to write a well thought-out piece reflecting their depth of knowledge and commitment. But when it comes down to it, consumers seem to prefer the thoughts and opinions of other consumers, who likely do not have the same level of sophistication and understanding with the product, let alone spent the same amount of time experiencing and reviewing the item in question. At the end of the day, we value the thoughts of people we can relate to, often more than the voice of authoritative experts.
Yu-kai Chou (Actionable Gamification: Beyond Points, Badges, and Leaderboards)
It’s not clear if he can dunk (no one’s ever seen him try) but he can definitely grab the rim and that alone is pretty impressive given that he’s five eleven and three-quarters. —Which, for the record, is the perfect height for an Asian dude. Tall enough for women to notice (even in heels! even White women!), tall enough to not get ignored by the bartender, but not so tall to get called Yao Ming and considered some kind of Mongolian freak.
Charles Yu (Interior Chinatown)
But won’t that wake them up?” I asked. Mr. Yao rolled his eyes. “That’s the point,” he said.
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
Nostradamus avait prédit la fin du monde pour l’été 1999. Comme chacun peut le constater, la terre continue de tourner et le bug du millénaire n’a pas causé trop de ravages. Le 11-Septembre a tout changé ; Saddam a été exécuté par ses compatriotes. En 2006, Liu Xiang a réalisé des miracles et en juillet 2011, Yao Ming a quitté la NBA. L’année du tremblement de terre du Sichuan, Zhang Yimou a conçu le spectacle de la cérémonie d’ouverture des jeux Olympiques au Nid d’Oiseau ; les crises monétaires internationales se sont succédé. Le Printemps arabe a éclaté. La fin du monde en 2012 annoncée par les Mayas ne s’est pas produite. Le grand « tsar » Poutine a annexé la Crimée ; l’État islamique a déclenché l’afflux des réfugiés en Europe. Leonardo DiCaprio a obtenu un oscar ; le prix Nobel de littérature a été attribué à Bob Dylan ; les frères Wachowski – que Ye Xiao adore – se sont d’abord transformés en frère et sœur, pour finalement devenir sœurs. Ce 14 août 2017, il s’est écoulé dix-huit ans depuis le jour où, selon Nostradamus, la fin du monde devait arriver.
Cai Jun (Comme Hier)
See? The police know I’m right,” Mr. Yao said, taking their interrogation of Hank as evidence that his theory about black people was valid. He was wrong. The only thing it proved was that the police were just like him.
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
In that moment, I realized how deep my parents’ love for each other was. It was deeper than anything Mr. Yao or America could throw at them.
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
Check your facts, Yao,” Hank said. “I’ve been staying here for six months. That makes me a resident. You can’t just kick out a resident like that,
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
Another wealthy clan member in the United Arab Emirates bought Mr. Yao three iPads to make this feasible — but even then, it was feasible only in the technical sense. At one point, he was bringing five iPads into the shower with him, each wrapped in a plastic bag, so that none of his accounts would go inactive.
Anonymous
Wakati Ford Bronco inatoka katika Kiwanda cha Dongyang Pharmaceuticals S.A de C.V. (kilichomilikiwa na mkurugenzi mkuu wa 'methamphetamine' wa Kolonia Santita mfanyabiashara wa Kichina kutoka Chaling, katika jimbo la Hunan, kusini ya kati ya China, Li Dongyang; na mkurugenzi wa usalama wa Kolonia Santita kutoka Lomas de Chapultepec, Mexico City, Gortari Manuel) Daniel Yehuda na Radia Hosni, waliokuwa wakipiga picha kila kitu kilichokuwa kikiingia na kutoka kiwandani kwa ajili ya ripoti ya upelelezi wao ya baadaye, waliiona. Lakini, hawakujua kama ilikuwa ikienda Varsovia kumuua Murphy na Sajini Mogens. Bronco ilipofika Varsovia ilisimama kwa fujo mbele ya SUV ya msafara wa Mtoto wa Rais Debbie Patrocinio Abrego, aliyekuwa ndani ya Mgahawa wa Angus akicheza muziki wa 'mariachi' na John Murphy, huku Mogens akilinda usalama wa kamanda wake na usalama wa baa nzima. Kabla majambazi wa Kolonia Santita hawajaleta madhara au fujo yoyote kwa Vijana wa Tume, polisi walifika eneo lile haraka ilivyowezekana! Kwa msaada wa walinzi wa Debbie! Wale majambazi walipekuliwa na kukutwa na bastola moja ya Akdal Ghost, bunduki mbili za AK-47, na picha nne za Vijana wa Tume ndani ya gari yao. Polisi waliwakamata na kuwapeleka katika kituo cha polisi cha Tume ya Dunia kilichopo Zona Rosa, Mexico City.
Enock Maregesi
Tuwape watoto wetu haki yao ya msingi ya kuwa watoto katika siku za ujana wao, kabla hawajawa watoto tena watakapokuwa wakubwa.
Enock Maregesi
It was so hard when you were the only one who liked something and no one else did.
Ines Bautista-Yao (Only A Kiss)
Mwanamke mwenye umri wa miaka arobaini na mbili na kuendelea anafaa kuolewa kama ni mjane na ataweza kuwapenda watoto wako kama mama yao alishafariki. Yule ambaye hajawahi kuolewa au aliyewahi kuolewa lakini akaachika bado ni kubahatisha, kwa sababu hujui kwa nini hajaolewa au kwa nini aliachika, hata kama ana watoto.
Enock Maregesi
Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.
Enock Maregesi
Kwa vile taifa la Israeli lilipoteza haki yake ya upendeleo, Mungu aliahidi kuliharibu kama alivyoyaharibu mataifa ya Waamori na Wamisri. Watu wa Israeli walishafika mbali sana kiasi cha Mungu kutokutegemea tena toba kutoka kwao. Kuna muda wa fursa na kuna muda ambao fursa haipo tena. Nafasi ya Israeli ya kutubu ilishafikia mwisho. Kama alivyokuwa amepigana vita vyao kwa ajili yao katika siku za nyuma sasa Mungu alipigana nao. Pamoja na ujasiri na utaalamu wao wote wasingependelewa tena. Mambo ambayo mwanzo yaliipa Israeli nguvu katika vita yaliwageukia.
Enock Maregesi
Kabla ya uasi, Mungu alimpa Shetani na wasaidizi wake ambao ni mapepo mamlaka makubwa juu ya kila kitu hapa duniani; kuanzia angahewa la dunia hadi ardhi ya dunia nzima nasi wakazi wake tukijumuishwa. Abadani tusisahau kwamba, kwa kiasi kikubwa, kupambana kwetu kama Paulo anavyosema ni dhidi ya hawa mapepo na mfalme wao ambaye ni Shetani. Tunaishi katika eneo ambapo hata wao wanaishi. Hawa mapepo wabaya huwatumia maadui wa msalaba wa Yesu Kristo kutekeleza mipango yao kwa lengo la kuwaangamiza marafiki wote wa msalaba wa Yesu Kristo, wanashawishiwa kwa kiasi kikubwa na hizo mamlaka za kimapepo, na kwa sababu wamedanganywa, hawajui hata kidogo kama Shetani anawatumia! Inawezekana hawajatwaliwa na mapepo lakini wanashawishiwa na mapepo kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu kwa wanadamu wote.
Enock Maregesi
Jambo ambalo Mungu anataka tulitambue ni kwamba hatuko wenyewe katika bahari hii ya hewa. Hata nyangumi na wazira waovu wanapozunguka huko na huko baharini, ambao pia ni mapepo, wanaochukuliwa kama viumbe wabaya na wachafu na wala mizoga, wanaishi katika bahari hii ya hewa pamoja na sisi. Ni muhimu, kwa ajili ya ustawi wetu wa kiroho, kusikia onyo la Paulo katika Waefeso 6:10-12 kwamba vita yetu si dhidi ya hawa viumbe, na wanapambana usiku na mchana kutetea kile ambacho wanaamini ni cha kwao kwa sababu ya haki ya kuwepo hapa kwanza kabla yetu. Dunia, Biblia inatwambia, ilikuwa makazi yao ya kwanza (Yuda 1:6, KJV). Wanatuchukia kwa sababu taratibu tunakuwa Baba na Mwana, na kwa sababu wanajua hii dunia, urithi wetu, itachukuliwa kutoka mikononi mwao na kukabidhiwa kwa wale ambao ni watoto wa Mungu, wale ambao ni marafiki wa msalaba wa Yesu Kristo.
Enock Maregesi
I don't know who first said it, but this proverb is something I believe: A lion leading a lot of sheep can defeat a sheep leading many lions. The important part is that I must decide when I am a lion and when I must be a sheep. I don't believe you are always one or the other.
Yao Ming (YAO: A Life in Two Worlds)
However, he hadn’t been this close to an agent from the MSS, China’s intelligence organization, since his CIA cover had been blown and he was forced to escape back to the United States. As a wanted fugitive, he’d been sentenced to death in absentia, with his face well known to China’s authorities. If Zhong Lin even suspected who he was, he would be whisked out of Vietnam in shackles to Beijing for a swift execution. His current disguise was meant to prevent that from happening. The real David Yao was a member of the Ghost Dragon triad, one of Taiwan’s most notorious gangs. Yao was suspected of being responsible for numerous extortion, racketeering, and murder plots, but his mutilated body had been found floating
Clive Cussler (Typhoon Fury (The Oregon Files, #12))
The words of his own teachers spiraled in his mind then as he collapsed in the snow. They had told him that holding on to anger was like grasping a hot coal. Only he would be burned by it. Yet as the men scattered and he felt strong arms lift him up, Yao Shu held the hot coal closely and felt only warmth.
Conn Iggulden (Bones of the Hills (Conqueror, #3))
Ukiwa na mawazo ya watu 8 unakuwa 1/8 ya mawazo yao.
Enock Maregesi
Sina jinsi. Nguzo ya maisha yangu ni historia ya maisha yangu. Historia ya maisha yangu ni urithi wa watu waliojifunza kusema hapana kwa ndiyo nyingi – waliojitolea vitu vingi katika maisha yao kunifikisha hapa nilipo leo – walionifundisha falsafa ya kushindwa si hiari. Siri ya mafanikio yangu ni kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wangu wote. Hiyo wote katika herufi kubwa. Wote katika herufi kubwa (WOTE) si neno la kawaida falau katika nukuu hii ya mafanikio. Linamaanisha kujitahidi kwa kadiri ya uwezo wako wote uliopewa na Mwenyezi Mungu. Watu wengi hujitahidi kwa kadiri ya uwezo wao. Usijitahidi kwa kadiri ya uwezo wako. Jitahidi kwa kadiri ya uwezo wako WOTE.
Enock Maregesi
Kiingereza kililetwa na wakoloni wa Kiingereza kutoka Uingereza na walikitumia katika masuala yote ya kiutawala ya Afrika Mashariki. Kililetwa pia na wamisionari waliojenga shule na kuwafundisha Kiingereza wanafunzi na walimu na watu wengine wa kawaida, kwa lengo la kuwasaidia katika kazi yao ya kueneza dini kama wakalimani, hivyo kufanya Kiingereza kienee zaidi kuliko Kiswahili.
Enock Maregesi
Hata wamisionari, hasa wamisionari wa Kiprotestanti, hawakukitumia Kiingereza katika kueneza dini kwa sababu hadhira yao isingewaelewa. Badala yake walitumia lugha za makabila ya Kiswahili, hivyo kujikuta wakieneza zaidi utamaduni wa Kiswahili kuliko wa Kiingereza au Kijerumani.
Enock Maregesi
Manabii wa uongo, na wafuasi wao, hawautaki ukweli. Kazi yao ni kutulazimisha tumwabudu Mpinga Kristo, badala ya Yesu Kristo, bila sisi wenyewe kujua. Wana mamlaka yote ya Mpinga Kristo kwa sababu, kama Mpinga Kristo, wanaongozwa na Shetani. Walimu hawa wa uongo wanaopenda kuvalia misurupwenye ya kisawasawa, na wanaoongea utafikiri wamemeza Biblia na kuitapika kwenye mikrofoni, lengo lao ni kutupeleka kwenye ufalme wa Shetani. Hatuna budi kuitangaza injili ya kweli ya Yesu Kristo, kwa imani ya kweli, kupata urithi usiohongeka wa ufalme wa Mungu.
Enock Maregesi
Soma sana. Andika sana. Ongea na watu kuhusu mambo ya muhimu unayoyafikiria. Tumia intaneti na maktaba kwa makini kwa ajili ya utafiti, kwa sababu habari nyingi za intaneti na maktaba haziaminiki. Kama una wazo kichwani mwako lizungumze kwa watu kama mazungumzo ya kawaida, ili upate maoni yao ya dhati, bila kusahau kuandika kwa siri wazo lolote jipya utakalolipata kutokana na mazungumzo hayo. Maana Mungu anaweza kuwasiliana na mtu mwingine yeyote yule akupe wazo, litakaloongeza maana zaidi katika mawazo ambayo tayari unayo.
Enock Maregesi
Kuna watu hawaamini kama Mungu yupo, lakini maisha yao yanaamini.
Enock Maregesi
Adamu na Hawa walipotenda dhambi waligundua kuwa kumbe walikuwa na miili, walipogundua kuwa walikuwa uchi, kisha Mungu akawalaani. Miili yao ikakosa thamani mbele ya Mungu, sisi wote tukalaaniwa pamoja nao. Kwa Mungu hii miili haina thamani hata kidogo. Chenye thamani ni roho.
Enock Maregesi
Iwapo watu watakwenda nje ya kusudi la Mungu, hata wawe makini kiasi gani na injili, maneno yao hata yawe ya hekima kiasi gani hayatawasaidia chochote.
Enock Maregesi
Kuna watoto wa Mungu na kuna watoto watakatifu wa Mungu. Watoto wa Mungu ni wale waliobatizwa na kumkaribisha Kristo kama kiongozi wa maisha yao, na hata wale ambao hawajabatizwa na kumkaribisha Yesu kama kiongozi wa maisha yao kwa maana ya uumbaji, wakati watoto watakatifu wa Mungu ni mitume na manabii wa kweli.
Enock Maregesi
Nimeishi na watu kutoka katika mabara yote ya dunia hii. Wanaume wana asili yao na wanawake wana asili yao. Ndiyo maana katika upendo wa PHILADELPHIA, upendo wa wanachama wa mashirika ya siri, wanaume na wanawake hawachangamani.
Enock Maregesi
Wengi midomo yao ndiyo inayoongea, si wao!
Enock Maregesi
Wasihi watoto wako kuipenda nchi yao.
Enock Maregesi
Mnamo mwaka 1957 Rais David Eisenhower wa Marekani (inasemekana) alipewa taarifa usiku mmoja akiwa Washington, D.C., kuhusu chombo cha ajabu kilichoanguka kwenye jangwa la Nevada huko Marekani. Ndani ya chombo kile kulikuwa na ‘aliens’ wawili, nao waliomba kuonana na Eisenhower kuhusu ujumbe waliokuja nao kutoka katika ulimwengu wao. Bila kuchelewa, Eisenhower alipanda ndege usiku huohuo mpaka Texas. Huko alichukua gari hadi kwenye eneo la kijeshi liitwalo Area 51, ambapo ndipo ule ujumbe wa ulimwengu mwingine ulipokuwa umeshikiliwa. Mkutano wa aina yake ulifanyika chini ya ardhi, kati ya Rais Eisenhower na hao viumbe wawili wa anga za mbali, chini ya tafsiri ya wanasayansi wa NASA. Walichotaka ni urafiki na dunia yetu, inayogombewa na dunia nyingi za ‘aliens’, kwa mbadala wa teknolojia kadha wa kadha ambazo sisi hatukuwa nazo. Pande zote mbili zilifikia maafikiano, wao wakitupa teknolojia, sisi tukiwapa uwezo wa kufanya majaribio ya kisayansi kwa binadamu wa dunia nzima. Hivyo kuanzia hapo ‘aliens’ wakawa na uhalali wa kuteka watu katika mazingira ya kutatanisha na kuingilia watu usiku wakiwa wamelala, katika tukio la kiulimwengu wa roho lijulikanalo kama ‘sleep paralysis’. ‘Sleep Paralysis’ ni tukio la ajabu. Mtu anapokuwa amelala mwili wake huonekana kufa ganzi, kiasi kwamba anajihisi hawezi hata kunyanyua mkono. Aghalabu hali hiyo inapotokea maana yake ni kwamba ‘aliens’ wanamchukua huyo mtu, kupitia kwenye paa la nyumba aliyolala, hadi mawinguni katika ndege yao. Ndani ya ndege wanaulaza mwili wa binadamu juu ya kitanda cha upasuaji, na kumfanyia upasuaji, ili kusoma biolojia iliyotumika kuumba wanadamu na kujua kwa nini sisi tuko tofauti na wao. Baada ya hapo wanamrudisha huyo mtu kitandani kwake, ambapo atalala usingizi wa kawaida hadi asubuhi. Atakapoamka hatajua kama alifanyiwa upasuaji. Wapo mamilioni ya watu duniani waliolalamika kutokewa na ‘aliens’, lakini serikali haziwahi kuilithibitisha hilo. Inavyosemekana, teknolojia za ‘aliens’ zinahifadhiwa na Jeshi la Marekani (Pentagon) na shirika la kijasusi la MAJI au MJ12. MJ12 ni watu 12 hatari zaidi duniani, wakiongozwa na mkurugenzi mkuu wa CIA (anayejulikana kama MJ1).
Enock Maregesi
Wananchi wakiamua kufanya kitu katika nchi yao kwa asilimia 100 serikali, na taasisi zake zote, haitaweza kuwazuia. Kwa sababu, mamlaka ya wananchi hushinda ya serikali.
Enock Maregesi
Polisi wa kituo cha kati cha Coyoacán kumbe hawakuwa mbali na sehemu zile. Walipoona gari zikifukuzana waliona ujanja ni kuwakatisha Vijana wa Tume katika vichochoro. Haikuchukua muda magari sita ya polisi yalitokeza Vallarta (Barabara ya Vallarta) na kuliona gari la Vijana wa Tume Gómez Farías likipepea kwa mwendo mkali kuelekea Cuauhtémoc, na gari za magaidi kwa nyuma yao. Kwa vile Ferrari ilikuwa mbali kidogo na magari ya magaidi, polisi hawakuitilia maanani sana kwa kudhani yale mawili (ya magaidi) ndiyo yaliyokuwa yakifukuzana. Bila kuchelewa, magari mawili ya polisi yalikamata Hidalgo na kuzunguka mpaka Moctezuma halafu yakasimama ghafla katikati ya Moctezuma na Gómez Farías – katikati ya magari mawili ya magaidi na gari la Vijana wa Tume. Wakati huohuo magari mengine (manne) ya polisi yakitokea Mtaa wa Vallarta nayo yakasimama nyuma ya magari ya magaidi; hivyo kufanya magari ya magaidi yawe katikati ya magari ya polisi, na polisi wakaisahau Ferrari ya Lisa.
Enock Maregesi (Kolonia Santita)
Wakiwa na suti nzito za kijani na madoa meusi (‘Ghillie Suits’) kwa ajili ya kupigania porini; Vijana wa Tume walikuwa na kofia za chuma, miwani ya kuonea usiku (iliyokuwa na uwezo wa kubinuka chini na juu), redio na mitambo ya mawasiliano migongoni mwao juu ya vizibao vya kuzuia risasi, vitibegi vya msalaba mwekundu (‘Blowout Kits’ – katika mapaja ya miguu yao ya kulia, ndani yake kukiwa na pisto na madawa ya huduma ya kwanza), vitibegi vya kujiokolea (‘Evasion Kits’ – katika mapaja ya miguu yao ya kushoto, ndani yake kukiwa na visu na pesa na ramani ya Meksiko) na bunduki za masafa marefu. Kadhalika, Vijana wa Tume waliamua kuchukua Punisher – waliyoafikiana baadaye kuwa ilikuwa nzuri kuliko RPG-7, ‘Rocket Propelling Gun’, ambayo Mogens alipendekeza waitumie kubomolea Kiwanda cha Dongyang Pharmaceuticals; kwa sababu hakutaka kuleta madhara kwa watu waliokuwa hawana hatia.
Enock Maregesi (Kolonia Santita)
Maana halisi ya falsafa ya 'Nitakuwa tayari kufungwa kwa ajili ya matatizo ya watu', au Falsafa ya Kufungwa, ni uvutano mkubwa uliopo kati ya Roho Mtakatifu na Roho wa Shetani kwa sisi wanadamu wote. Jambo lolote baya limtokealo mwanadamu husababishwa na Shetani na si Mungu na watu hupata matatizo kwa sababu ya kudharau miito ya mioyo yao wenyewe, au kudharau kile Roho Mtakatifu anachowambia. Unaweza kuvunja sheria kwa manufaa ya wengi kwani mibaraka haikosi maadui. Ukifungwa kwa kuvunja sheria kwa ajili ya manufaa ya wengi watu watakulaani lakini Mungu atakubariki. Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako. Tukijifunza namna ya kuwasiliana na Roho Mtakatifu hatutapata matatizo kwani Mungu anataka tuishi kwa amani katika siku zote alizotupangia, licha ya damu yetu kuwa chafu. Mtu anapokufa kwa mfano, Roho wa Shetani amemshinda Roho Mtakatifu na Roho Mtakatifu hatalipendi hilo kwa niaba ya Mungu. Ikitokea mtu akayashinda majaribu ya Shetani katika kipindi ambacho watu wote wameyashindwa; mtu huyo amebarikiwa na Mungu, ili aitumie mibaraka hiyo kuwaepusha wenzake na roho mbaya wa Shetani. Nikisema 'Kwa nguvu ya uwezo wa Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yako' namaanisha, Roho Mtakatifu ana uwezo wake na Roho wa Shetani ana uwezo wake pia. Ukimshinda Roho wa Shetani uwezo wa Roho Mtakatifu umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho wa Shetani, na ukishindwa kumtii Roho Mtakatifu uwezo wa Roho wa Shetani umekuwa mkubwa kuliko uwezo wa Roho Mtakatifu, ilhali uwezo wa Mungu ni mkubwa kuliko wa Roho Mtakatifu na wa Roho wa Shetani kwa pamoja. Mungu humtumia Roho Mtakatifu kumlindia watoto wake ambao ni sisi dhidi ya Shetani … Kila akifanyacho Roho Mtakatifu hapa duniani ni kwa niaba ya Mungu, na tukimtii Roho Mtakatifu Mungu atamshinda Shetani kwa niaba yetu. Mtu anapofungwa kwa kutetea maslahi ya umma wewe unayemfunga umemtii Roho wa Shetani. Yule anayefungwa amemtii Roho Mtakatifu maana amebarikiwa, na mibaraka haikosi maadui.
Enock Maregesi
The Four Noble Truths The Dharma teaches the Buddhists the ways to progress or reach nirvana.  In this light, the Dharma teaches that the journey to nirvana should involve following the Four Noble Truths referred to as Pativedhanana or the “wisdom of realization.”  According to the Buddha, the four truths center around the following concepts: 1) universality of suffering; 2) origin of suffering; 3) overcoming of suffering; and 4) the suppression of suffering. The
Xin Yao (Buddhism: A Beginner's Guide to Spiritual Enlightenment (Buddhism, Buddhism for beginners, Meditation, Zen Buddhism))
Wachawi hivi ndivyo wanavyoapishwa na kuikana imani ya Kikristo: Mwanafunzi hupelekwa kilingeni katika siku maalumu kuonana na Shetani, pamoja na jopo la wachawi. Shetani hutokea katika mwili wa hewa, mwili uliochanganyikana na hewa na mvuke mzito, wa mwanamume na kuwasihi waishikilie imani yao kwake kwa mioyo yao yote, huku akiwaahidi utajiri na maisha marefu kama hawatamkana. Kisha wachawi wanampendekeza mwanafunzi kwa Shetani. Shetani humuuliza mwanafunzi kama yuko tayari kuikana imani yake, kuachana na Ukristo na kutokumwabudu Mwanamke Aliyebarikiwa Kuliko Wanawake Wote Duniani Maria Magdalena, na kutoziheshimu sakaramenti za aina zote. Mwanafunzi atakapokubaliana na masharti hayo, Shetani atanyoosha mkono wake na kumsihi mwanafunzi anyooshe wa kwake. Kwa mkono wake mwenyewe, mwanafunzi ataapa na kuweka agano na Shetani mbele ya jopo la wachawi. Baada ya hapo bila kuchelewa Shetani ataendelea na kusema kuwa hicho kiapo hakitoshi. Lakini mwanafunzi atakapouliza afanye kitu gani cha ziada, Shetani atahitaji kiapo kifuatacho kwa heshima yake na kwa heshima ya mashetani wote: Mwanafunzi ajikabidhi kwa Shetani kwa mwili na kwa roho yake yote daima dawamu, na afanye kila awezalo kuleta wanafunzi wengine wa kike na wa kiume katika ufalme wake. Kama hiyo haitoshi Shetani ataongeza kuwa lazima mwanafunzi atengeneze mafuta fulani kutokana na mifupa na viungo vya miili ya watoto, hasa watoto waliobatizwa, kwani kwa kufanya hivyo atamtimizia kila kitu atakachokitaka hapa duniani. Hiyo ni njia mojawapo ya kiapo. Njia nyingine ya kiapo ni kwa wale ambao hawajiamini au wana hofu ya kuonana na Shetani uso kwa uso kilingeni, akiwa na mwili wa kimazingaombwe na sauti ya kutisha kwani Shetani hana mapafu wala hana ulimi. Badala ya kilingeni mwanafunzi hupelekwa kanisani na jopo la wachawi ambapo mbele ya jopo atalazimishwa kuikana imani yake, kumkana Yesu Kristo, kuukana ubatizo na kulikana kanisa zima kwa ujumla wake. Mwanafunzi baada ya hapo atalazimishwa kutoa heshima kuu kwa Mfalme Mdogo, kwani hivyo ndivyo wanavyomwita Shetani ili kumwondolea mwanafunzi hofu, kisha atalazimishwa kunywa supu ya mtoto mchanga waliyemuua akazikwa kisha wakamfukua na kupika viungo vya mwili wake; na dakika hiyo mwanafunzi atapata maarifa, maarifa ya kichawi, kama walimu wake na watarudi nyumbani.
Enock Maregesi
John Murphy alifika Moscow tarehe 1/11/1992 saa 11 alfajiri akitokea Cairo, Misri. Wakati huo Moscow kulikuwa na baridi sana. Teksi yake ilipofika Teatralny Proezd, upande wa kusini wa Hoteli ya Metropol – karibu na mojawapo ya minara ya mwanzo ya Kitay-gorod, kitovu kikuu cha biashara cha Moscow ya kale – kwa matatizo ya injini; magaidi wanne, waliokuwa wakimfuatilia kwa gari aina ya Bentley Continental S nyeusi – iliyokuwa na namba za kitemi za B 001 BB 77 RUS mali ya Kiongozi wa CS-Moscow Dmitri Olegushka – toka Uwanja wa Ndege wa Sheremetyevo II wa kaskazini-magharibi mwa jiji la Moscow, waliendelea mbele na kusimama mkabala na Jumba la Maonyesho ya Tamthilia la Bolshoy; kisha wawili kati yao wakashuka na kuingia ndani ya kioski, wawili wakibaki ndani ya gari kuhakikisha John Murphy hawapotei. Magaidi hao wa CS-Moscow, Tawi la Kolonia Santita la Urusi na nchi zote za Ulaya ya Mashariki na baadhi ya nchi za Ulaya ya Kusini, walijua Murphy alishawahisi.
Enock Maregesi
The Arabs from Zanzibar convinced them to become Muslim, then recruited them to capture our Chewa people and put us into bondage. They raided our villages, killed our men, then sent our women and children across the lake in boats. Once there, the slaves were shackled by the neck and made to march across Tanzania. This took three months. Once they reached the ocean, most of them were dead. Later on, the Yao captured and traded us to the Portuguese in exchange for guns, gold, and salt.
William Kamkwamba (The Boy Who Harnessed the Wind: Creating Currents of Electricity and Hope)
Kuwepo kwa Mti wa Uzima wa Milele katika Bustani ya Edeni (pamoja) na Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya inamaanisha, Adamu na Hawa walikuwa hai kiroho mpaka walipokula tunda la mti wa katikati ambapo hali yao ya maisha ilibadilika. Adamu na Hawa walikufa lakini hawakufa – walikufa baadaye kabisa. Hii inamaanisha kwamba (haya ni mawazo yangu tu) mtu anapokufa anakuwa amekula tunda la mti wa katikati, litakalomwezesha kuendelea kuishi katika hali nyingine ya maisha ambayo sisi hatuijui.
Enock Maregesi
Nini kingetokea kama Adamu na Hawa wasingekula tunda la Mti wa Maarifa ya Mema na Mabaya mpaka siku ya Sabato? Mungu angewaruhusu kula na lengo la uumbaji wa Mungu lingekamilika. Wanadamu wakifuata Amri Kumi za Mungu katika maisha yao watakuwa na uwezo maalumu ambao baadaye utawawezesha, kupitia Roho Mtakatifu, kuwa na maarifa ya siri ya uumbaji wa Mungu.
Enock Maregesi
senior
Mark Peters (The Ultimate Yao Ming Fun Fact And Trivia Book)
The Four Noble Truths The Dharma teaches the Buddhists the ways to progress or reach nirvana.  In this light, the Dharma teaches that the journey to nirvana should involve following the Four Noble Truths referred to as Pativedhanana or the “wisdom of realization.”  According to the Buddha, the four truths center around the following concepts: 1) universality of suffering; 2) origin of suffering; 3) overcoming of suffering; and 4) the suppression of suffering. The First Noble Truth: Dukkha  The Buddha proclaimed that
Xin Yao (Buddhism: A Beginner's Guide to Spiritual Enlightenment (Buddhism, Buddhism for beginners, Meditation, Zen Buddhism))
Yao, demons, ghosts, and monsters- which of them is more vile than the human
Priest (烈火浇愁 [Lie Huo Jiao Chou] Drowning Sorrows in Raging Fire)
Hi, Mr. Yao? It’s Hank Caleb calling from the Calivista,” Hank said.
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
The most noteworthy knock-Shaq-on-his-rear addition took place on June 26, 2002, when the Houston Rockets used the first pick in the NBA draft to select Yao Ming, the 7-foot-6, 310-pound center who had recently averaged 38.9 points and 20.2 rebounds per game in the playoffs with the Shanghai Sharks of the Chinese Basketball Association. Though he was just 21 and unfamiliar with high-caliber competition, Yao’s arrival was considered a direct challenge to O’Neal’s reign as the NBA’s mightiest big man. Sure, Shaq was tall. But he wasn’t this tall. Within weeks, a song titled simply “Yao Ming” was being played on Houston radio stations, and Steve Francis, the Rockets’ superstar guard, was being introduced to audiences as “Yao Ming’s teammate.” There was talk—only half in jest—of a Ming dynasty. Put simply, the NBA’s 28 other franchises were doing their all to shove the Lakers off their perch. If that meant copying elements of the triangle offense (as many teams attempted to do), so be it. If that meant adding Mutombo or Clark, so be it. If that meant importing China’s greatest center, so be it. And if that meant throwing punches—well, let’s go.
Jeff Pearlman (Three-Ring Circus: Kobe, Shaq, Phil, and the Crazy Years of the Lakers Dynasty)
stockpiling of goods, runs on banks, and widespread urban discontent. This put Zhao seriously on the political defensive and under attack from the conservative Old Guard. Over the summer of 1988 a comprehensive plan to control inflation and stabilize the overheated economy was worked out by senior leaders Yao Yilin and Li Peng, as well as State Council think tank economists—which was presented to the Third Plenum of the Thirteenth Central Committee in September. As a result, prices were frozen, foreign trade was recentralized, a very tight fiscal policy forced on state banks, investment controls were put in place, and capital construction halted. Zhao himself came in for six-and-a-half hours of harsh criticism and was forced to make a self-criticism. This was the all-important backdrop to the dramatic demonstrations of the spring of 1989 (which were triggered by economic discontent as much as by political demands). Among the many other economic reforms stimulated during Deng’s tenure, two others deserve brief mention. The first concerned changes in the ownership structure, and the second concerned efforts to establish a regulatory structure (as distinct from an administrative structure) for qualitative oversight of economic activity. With regard to the first, a key part of creating the hybrid state-collective-private economy that Deng and his colleagues envisioned necessitated the creation of truly private enterprises and private ownership.56 Citizens in both rural and urban areas were permitted to purchase long-term leaseholds on property (often their homes) and to pass it from generation to generation. Another example of
David Shambaugh (China's Leaders: From Mao to Now)
use a word you young people like, it’s called happiness. Happiness! You young people don’t realize, but when I pick the fruit from my trees and give it to the children, my heart is so . . . happy!
Lu Yao (Life)
The Double Dose Amy Yao ALL RIGHTS RESERVED:  No part of this book may be reproduced, stored in a retrieval system, or transmitted, in any form or by any means, without
Amy Yao (The Double Dose)
When love first awakens a young person, it bestows a great power. This is especially true in the case of those who have entirely lost faith in themselves—in them, passionate love can cause the spirit to come alive again.
Lu Yao (Life)
Near and far had already begun to blend together.
Lu Yao (Life)
Although he was an idealist, he was practical when it came to concrete problems.
Lu Yao (Life)
GV-3 Chinese Point name: Yao Yang Guan;6 English translation: “Yang Pass;” Location: Just below the fourth lumbar vertebra on the centerline of the body; Western Anatomy: The posterior branch of the lumbar artery and the medial branch of the posterior ramus of the lumbar nerve are both present; Comments: Martial attacks to this point, and the majority of the Governing Vessel points on the back, are limited to situations when you are at your opponents back. Strikes to these areas will have to be forceful given the protective nature of the Yang surface of the back. If an opponent is prone on their stomach, after they have been dropped by another technique, then utilize heel stomps to the Governing Vessel to disable them. The hard stomping action will not only shock the energy core of the body, but might also cause structural damage to the spine.
Rand Cardwell (36 Deadly Bubishi Points: The Science and Technique of Pressure Point Fighting - Defend Yourself Against Pressure Point Attacks!)
She burst into tears, holding him close, as tightly as dodder seeds entangled in grass.
Lu Yao (Life)
The sun had just set behind the mountains, and a red cloud was blooming across the western sky. Pale saffron rays of light shone on the mountains while the great peaks on either side of the river cast their dense shadows on the valley.
Lu Yao (Life)
I meant what I said in front of the gates,” said Shang softly. “I’ll never meet another girl like you.” He shuffled his feet and went on quickly, getting to the point: “You told me in Diyu that you set your matchmaker on fire. Does that mean she never made you a match? I mean, do you have someone waiting for you at home?” Mulan’s mouth curved. She had an idea where this was going now, and she had to press her lips tight to keep from smiling. “I have my parents and my grandmother.” “Would they object if I visited?” “Object?” A laugh tumbled out of her throat. “They might never let you leave.” At that, Shang grinned. Hearing her laugh, Yao, Ling, Chien-Po turned back and waved. “They must be wondering what we’re talking about,” she said, waving back. She touched her cheek. It was hot, and she could only imagine how flushed she must look. Her friends—and especially Mushu—would be very curious about why Shang had made her blush. She’d tell them, but not yet. For now, maybe she could blame it on a good run. “Come on,” said Mulan to Shang, still glowing. “I’ll race you back.” Together, they ran to catch up with the soldiers. They’d march to the Imperial City, to be honored by the Emperor. Then home, to begin the next chapter of their lives.
Elizabeth Lim (Reflection (Twisted Tales, #4))
job, but only after I told them I would make a sign saying Security Camera Installed and put it up in the front office. Even though we didn’t have a security camera, people could think we had a camera. Billy Bob, one of the weeklies, came into the front office. He pointed at the sign and asked, “Where’s the new security camera?” I looked down at my hands. “There isn’t one,” I admitted. I told him about Mr. Yao and how he rejected all my ideas because they were too expensive. Billy Bob sighed. “I’m sorry to hear that,” he said. “But you know what? Come here, let me show you something.” I followed him out to the parking lot. The two of us stood in front of Billy Bob’s old blue station wagon.
Kelly Yang (Front Desk (Front Desk #1) (Scholastic Gold))
Meek people rarely get angry, but once they’re angry, they lose control.
Lu Yao (Life)