Tanzania Swahili Quotes

We've searched our database for all the quotes and captions related to Tanzania Swahili. Here they are! All 8 of them:

β€œ
Kiswahili ni lugha rasmi ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Ni lugha isiyo rasmi ya nchi za Rwanda, Burundi, Msumbiji na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Lugha ya Kiswahili ni mali ya nchi za Afrika ya Mashariki, si mali ya nchi za Afrika Mashariki peke yake. Pia, Kiswahili ni lugha rasmi ya Umoja wa Afrika; pamoja na Kiarabu, Kiingereza, Kifaransa, Kireno na Kihispania. Kiswahili ni lugha inayozungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote ile, duniani.
”
”
Enock Maregesi
β€œ
They were posted to a country neither knew much about beyond the space it occupied on the map of East Africa between Kenya and Rwanda. After four years working in the remote Usambara Mountains, they moved to Moshi, which means β€œsmoke” in Swahili, where the family was billeted by their Lutheran missionary society in a Greek gun dealer’s sprawling cinder-block home, which had been seized by the authorities. And with the sort of serendipity that so often rewards impetuousness, the entire family fell fiercely in love with the country that would be renamed Tanzania after independence in 1961. β€œThe older I get, the more I appreciate my childhood. It was paradise,” Mortenson says
”
”
Greg Mortenson (Three Cups of Tea: One Man's Mission to Promote Peace ... One School at a Time)
β€œ
Moyo kabla ya silaha
”
”
Julius Nyerere
β€œ
Wajerumani, hata hivyo, wakati wa utawala wao waliruhusu Kiswahili kiwe lugha halisi ya taifa nchini Tanzania kwa vile hawakukiongea Kiingereza wala hawakukipenda. Ndiyo maana Kiswahili kinazungumzwa zaidi nchini Tanzania kuliko Kenya au Uganda.
”
”
Enock Maregesi
β€œ
For the rest of my life, Zanzibar will be the Swahili word for rain. The rain would drizzle, spit, mist, downpour, shower, torrent, gust, deluge and blast. At one point it hit the ground so hard it created a haze as it bounced back up two feet and fell a second time.
”
”
Kristine K. Stevens (If Your Dream Doesn't Scare You, It Isn't Big Enough: A Solo Journey Around the World)
β€œ
Kiswahili ni lugha ya Kibantu na lugha kuu ya kimataifa ya biashara ya Afrika ya Mashariki ambayo; maneno yake mengi yamepokewa kutoka katika lugha za Kiarabu, Kireno, Kiingereza, Kihindi, Kijerumani na Kifaransa, kutoka kwa wakoloni waliyoitawala pwani ya Afrika ya Mashariki katika kipindi cha karne tano zilizopita. Lugha ya Kiswahili ilitokana na lugha za Kisabaki za Afrika Mashariki; ambazo nazo zilitokana na Lugha za Kibantu za Pwani ya Kaskazini Mashariki za Tanzania na Kenya, zilizotokana na lugha zaidi ya 500 za Kibantu za Afrika ya Kusini na Kati. Lugha za Kibantu zilitokana na lugha za Kibantoidi, ambazo ni lugha zenye asili ya Kibantu za kusini mwa eneo la Wabantu, zilizotokana na jamii ya lugha za Kikongo na Kibenue – tawi kubwa kuliko yote ya familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri katika bara la Afrika. Familia ya lugha za Kikongo na Kibenue ilitokana na jamii ya lugha za Kiatlantiki na Kikongo; zilizotokana na familia ya lugha za Kikongo na Kinijeri, ambayo ni familia kubwa ya lugha kuliko zote duniani kwa maana ya lugha za kikabila. Familia ya lugha ya Kiswahili imekuwepo kwa karne nyingi. Tujifunze kuzipenda na kuzitetea lugha zetu kwa faida ya vizazi vijavyo.
”
”
Enock Maregesi
β€œ
Novelists and the literary world play an important part in shaping languages. The Swahili they write influence the readers and their languages. The literary obstacle in Tanzania is not that people do not read, but that they don’t read because there are no interesting writers.
”
”
Enock Maregesi
β€œ
Roho ya Badman Killa ni jambo moja lenye nguvu ambalo unajikuta ukitaja. Ikiwa huu sio ushuhuda kwamba DON SANTO ni kutoka kwa mungu, basi sijui ni nini. Dah!
”
”
Barnaba Classic